Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the newsmatic domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /home/chankysu/domains/chankysupply.com/public_html/wp-includes/functions.php on line 6121
NEWS Archives - Chanky Supply

USHAURI KWAKO WEWE AMBAE UMEUMIZWA NA MAPENZI

USHAURI KWAKO WEWE AMBAE UMEUMIZWA NA MAPENZI     ✍️USHAURI : Baadhi ya kauli unazopaswa kuziepuka unapokuwa umeumizwa na kujeruhiwa moyo wako. 1. Usiseme, β€œsitaoa/kuolewa tena ” maana katika maisha ndoa inayo nafasi yake kukusaidia kutimiza ndoto za maisha yako, ndiyo maana mungu akasema β€œsi vyema mtu awe peke yake na wawili ni bora kuliko…

Read More

KANUNI 6 ZA UONGOZI TUNAZOWEZA KUTO..

KANUNI 6 ZA UONGOZI TUNAZOWEZA KUJIFUNZA KUTOKA KWA NDEGE TAI. 1. Tai Huruka Peke yake na kwa umbali wa juu. Hawaruki pamoja na shomoro, kunguru, na ndege wengine wadogo. MAANA: Jiepushe na watu wenye mawazo finyu, wale wanaokuleta chini. Tai huruka na tai wenzake. Dumisha mzunguko wa watu wazuri. 2. Tai Wana Uwezo wa Kuona…

Read More

NJIA ZA KUMSAHAU EX WAKO

NJIA ZA KUMSAHAU EX WAKO Kumsahau mpenzi wako wa zamani inaweza kuwa changamoto kubwa, lakini kuna njia kadhaa ambazo zinaweza kusaidia kuponya na kusonga mbele. Hapa ni baadhi ya njia ambazo unaweza kuzingatia: 1. Kubaliana na hali halisi: Kukubaliana kwamba uhusiano umeisha ni hatua muhimu ya kwanza. Hii inaweza kuwa ngumu, lakini ni muhimu kukubali…

Read More

MAPENZI SI KILAKITU KATIKA MAISHA

MAPENZI SI KILA KITU KATIKA MAISHA Ni Ukweli kwamba Kupenda/kupendwa ni kitu kizuri sana, lakini mapenzi peke yake hayawezi kuwa ndo msingi wa maisha yako yote. Watu wengi wanaweka mapenzi katikati ya kila kitu kwenye maisha yao, kiasi kwamba wanapoumizwa, wanapoteza mwelekeo kabisa wa maisha. Jifunze kuwa na maisha nje ya mahusiano. Kuwa na malengo…

Read More

MWANAUME USINUNUE NGO’MBE KIJIJI ULICHOPO

MWANAUME USINUNUE NGO’MBE KIJIJI ULICHOPO: ——————————————————– Mwanaume, unaponunua ngo’mbe kamwe usinunue kwenye eneo au kijiji ulichopo. Kwanini?! Kwa sababu kuna siku ng’ombe ataenda mtoni kwa lengo la kunywa maji. Kisia nani atakuwa eneo hilo?! Ni mmiliki wake wa mwanzoni. Unajua atakachokifanya huyo mmiliki wake wa zamani?! Atakachofanya ni kumpigia mluzi, na ng’ombe atatambua mluzi wa…

Read More

JIFUNZE KUMVUTA MTEJA KWENYE BIASHARA YAKO BILA KUTUMIA NGUVU NA GHARAMA KUBWA

JIFUNZE KUMVUTA MTEJA BILA KUTUMIA NGUVU NA GHARAMA KUBWA Mteja anastahili kuthaminiwa sio kwa sababu ya jinsi alivyo ila ni kwa sababu ya kile anachokileta kwenye biashara yako yaani fedha. Hakuna biashara nzuri inayomzidi uzuri mteja simaanishi uzuri wa muonekano, namaanisha kile ambacho kinaifanya biashara iwe nzuri ambacho hakitoki kwa mfanyabiashara ila ni kwa mteja….

Read More
Back Top