Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the newsmatic domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /home/chankysu/domains/chankysupply.com/public_html/wp-includes/functions.php on line 6121
MWANAUME USINUNUE NGO'MBE KIJIJI ULICHOPO - Chanky Supply

MWANAUME USINUNUE NGOโ€™MBE KIJIJI ULICHOPO

MWANAUME USINUNUE NGOโ€™MBE KIJIJI ULICHOPO:
โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€“

Mwanaume, unaponunua ngoโ€™mbe kamwe usinunue kwenye eneo au kijiji ulichopo. Kwanini?! Kwa sababu kuna siku ngโ€™ombe ataenda mtoni kwa lengo la kunywa maji.

Kisia nani atakuwa eneo hilo?! Ni mmiliki wake wa mwanzoni. Unajua atakachokifanya huyo mmiliki wake wa zamani?!

Atakachofanya ni kumpigia mluzi, na ngโ€™ombe atatambua mluzi wa mmiliki wake wa zamani. Atamfuata. Ngโ€™ombe atakapomfuata mmiliki wake wa zamani, kitakachofuata ni zoezi la kukamuliwa maziwa yote mazuri.

Baada ya hapo mmiliki wa zamani atampa pasa papasa ngโ€™ombe juu ya mgongo. Na kumuacha aondoke kana kwamba hakuna lolote lililotokea.

Kisha wewe mmiliki mpya ukimuona ngโ€™ombe karudi nyumbani. Utajawa furaha na kuchukua ndoo ndogo ukitaka umkamue maziwa fresh.

Lakini ngโ€™ombe atakuwa mkali, atakupa Kung Fu kick moja takatifu. Huku akitoa mlio wa hasira. Sababu ngโ€™ombe huwa hapendi utaratibu wa kukamuliwa maziwa yake mara kwa mara tena kwa siku nzi

Back Top